MENU

Fun & Interesting

HII KALI: Mchungaji aliyeoa Mke wa Muumini wake Kagera

Millard Ayo 289,494 8 years ago
Video Not Working? Fix It Now

Wilaya ya Karagwe Kagera imeingia tena kwenye headlines kwa mkasa uliotokea katika kata ya Ndama baada ya Mchungaji wa kanisa katika huduma ya kristu {H.K.K} Japhes Josephat kumuoa Mke wa muumini wake kwa madai ameoteshwa na Mungu.

Comment