MENU

Fun & Interesting

Magoli yote | Mashujaa FC 0-5 Yanga SC | NBC Premier League 23/02/2025

Azam TV 165,631 lượt xem 1 day ago
Video Not Working? Fix It Now

Clatous Chama amefunga magoli mawili, Yanga ikiichakaza Mashujaa FC magoli 5-0 kwenye Dimba la Lake Tanganyika, Kigoma, mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara....

Chama amefunga dakika ya 74 na 83 huku mengine yakifungwa na Duke Abuya, Prince Dube na Khalid Aucho..

Comment