Ufugaji wa Kuku wa kienyeji unakumbwa na changamoto nyingi zikiwemo magonjwa pamoja na mfumko wa bei za vyakula.
Swala ambalo linapelekea wafugaji wengi wanakata tamaa ya kendeleza miradi yao kutokana na hasara wanazozipata katika ufugaji zinazosababishwa na magonjwa.
Ndugu mfugaji usikate tamaa wala usiache ufugaji wa kuku,
Nime kukusanyia magonjwa 10 Yanayooleta hasara Kubwa kwa wafugaji 🐔🐓🐔.
MAGONJWA YANAYO ATHIRI KATIKA UFUGAJI
1. Ugonjwa wa mdondo
2. Ugonjwa wa gumboro
3. Ugonjwa wa ndui
4. Kuharisha damu (coccidiosis)
5. Ukosefu wa vitamin A
6. Typhoid ya kuku
7. Kuharisha nyeupe
8. Kipindupindu cha kuku
9. Mafua ya kuku
10. Viroboto, utitiri na chawa
PLAYLIST
Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji
https://bit.ly/2JlD0sl
Ufugaji wa Kuku Chotara
https://bit.ly/39r7FPD
Magonjwa Tishio ya Kuku
https://bit.ly/39oRfr1
Ujenzi wa Banda Bora
https://bit.ly/3bxQJs2
Uleaji Bora wa Vifaranga
https://bit.ly/2JjPH73
SOCIAL MEDIA
YouTube; https://bit.ly/2vU8SBg
Facebook; https://bit.ly/39ogwlb
Instagram; https://bit.ly/3dA25xF
Twitter; https://bit.ly/2UIh3Jh
What's app; 255 (0)752209073
For Business Purposes
Email; [email protected]
What's app; 255 (0)692518225
Share video hii tuwaokoe na wafugaji wengine wenye changamoto katika ufugaji