MENU

Fun & Interesting

'Matokeo ya Uchunguzi kuhusu kupigwa kwangu risasi bado mpaka leo'

BBC News Swahili 124,026 5 months ago
Video Not Working? Fix It Now

Mwandishi wa BBC Leonard Mubali amefanya mahojiano na makamu mwenyekiti wa Chadema taifa Tundu Lissu na kuzungumza masuala mbalimbali ikiwemo kushikiliwa kwa viongozi wao kinyume cha sheria, matukio ya utekaji pa moja na uchunguzi dhidi ya tukio la kuupigwa risasi miaka michache iliyopita #bbcswahili #tanzania #siasa Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw

Comment