MENU

Fun & Interesting

Mgonjwa apatikana amekatwa shingo KNH

Citizen TV Kenya 99,844 5 days ago
Video Not Working? Fix It Now

Mafisa wa DCI wameanzisha uchunguzi kutegua kitendawili cha mgonjwa aliyeuawa akipokea matibabu katika hospitali ya rufaa ya kenyatta. Mgonjwa huyo alipatikana amekatwa shingo usiku wa kuamkia leo kwenye wodi.

Comment