Nili hukumiwa miaka 15 nkatolewa kwa msamaha, nilitumikia kifungo changu jela ndani ya miaka 10.
Mwenzangu tulivyo kuwa jela alichoma sindano ya sumu akafa, nimepitia mateso sana nchini iran sitokuja kusahau katika maisha yangu
#iran #jail #wafungwa #mateso
KUTAZAMA MUENDELEZO WA VIDEO HII GUSA LINK HAPO CHINI 👇👇👇👇👇👇👇👇
https://youtu.be/eLlfp_mgRik