Alex ameeleza Safari yake ya kutoka Tanzania mpaka Marekani
Ambapo alipoteza begi lake la documents zake Airport na kumfanya kukosa raha Marekani.
Alirudi Tanzania baada ya kushinda DV lottery lakini kwa bahati mbaya hakuitwa kwaajili ya interview lakini alibahatika kupata Visa ya Canada na sasa anaishi Canada
Anasema kazi za Care zinakutoa kimaisha endapo utakua na malengo.
Thank you Alex for allowing this to be online
www.oda.international