INATISHA! BINTI BARKE ALIYEUAWA GESTI, AKATOLEWA FIGO ZOTE, UKWELI KAMILI NI HUU...
Siku chache baada ya kusambaa kwa picha za binti Barck Pesa mkazi wa Ilala jijini Dar anayedaiwa kuuawa kinyama katika nyumba ya wageni, Global TV imezungumza na ndugu marehemu ambao wamesimulia tukio zima.
Taarifa za awali zilieleza kuwa, Barke alikutwa amefariki kwenye moja ya nyumba za wageni maeneo ya Tabata- Barakauda jijini Dar baada ya kutoweka siku kadhaa bila kuonekana.
Ilielezwa kuwa, siku ya tukio Desemba 31,2021, marehemu alikwenda kwenye kwenye Ukumbi wa Kitambaa Cheupe akiwa na rafiki yake wakawa wanakula starehe.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vDNQjLA5ikELAOcJp5XrakD
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: https://www.youtube.com/playlist?list=PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline