MENU

Fun & Interesting

Masaa 54 ya utekaji wa ndege ya Air Tanzania-1982/AirTanzania plane hijack 1982

The Chanzo 136,558 lượt xem 2 years ago
Video Not Working? Fix It Now

Fuatilia kisa hiki cha vijana wa kitanzania walioteka ndege ya shirika la ndege la Tanzania kutoka walipotokea katika uwanja wa Mwanza mpaka kwenda kumalizia jaribio lao la utekaji jijini London. Ni tukio lililoteka vyombo vyote vya habari mwaka 1982.

Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105

The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved

Comment